Je, umesha wai kuota ndoto unakufa ?..

Je, umesha wai kuota ndoto unakufa ?..Na kama umeshawai kuota ndoto ya mtindo huo ,Umesha wai kujiuliza kwanini Punde unapokuwa unaota Unashtuka kabla haujafa kabisa..? , yani unashtuka ukiwa katikati ya kitendo hicho.

Katika soma yangu, Niliambiwa na mtafiti mmoja , kwamba sikuzote mwili unapo kuwa kati hali ya tofauti na ulivyo zoea, mfano , Kutishwa , mshtuko , uoga n.k, huwa unatoa homoni ya kujiami inayo itwa Adrenal , ili kukabili hali hiyo ndomana unakuta mtu unashtuka.

Lakini, nili jaribu kufikiri, nikapata wazo , ni kwamba , ninanyo ona mimi , Tunashtuka kipindi tunapo ota ndoto kuwa tunakufa, kwasababu , Ubongo hauji nini kinatokea baada ya kifo.

Nasema hivyo kwa mantiki ya kwamba , ubongo ndio msingi wa ndoto, Ubongo ndio unao kufanya uote , na sikuzote mtu akifa ina maana mwili wake haufanyi kazi tena kwa ujumla, ikiwemo na ubongo pia..Sasa ubongo utawezaje kukufanya uendelee kuota umekufa wakati mtu ukifa Ubongo unakuwa haufanyi kazi?

✨✨MWISHO✨✨

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages