Kalori ni nini?

Kalori ni kipimo kinachotumika kupima kiasi cha nguvu kinachotolewa na chakula. Mahitaji ya kalori kwa siku kwa wanaume ni kati ya kalori 2,000 na 3,000 & kwa wanawake ni kati ya kalori 1,600 na 2,400. Kuzidisha kalori husababisha kitambi (uzito kupita kiasi).

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages