Je wajua?

1:WANAWAKE WANA JIKUTA WANAVUTIWA NA WEWE ENDAPO T WAKIGUNDUA KUNA WANAWAKE WENZAO ZAIDI YA WAWILI WANAKUANGALIA WEWE BILA YA WEWE KUWAONA WAKIKUANGALIA

2:mimba ya jack chain HAIKUWA miezi 9 ilikuwa 12

3:ng'ombe ana uwezo wa Kutoa maziwa mengi akikamuliwa kipindi anasikiliza nyimbo tulivu

4:KUMBE MBU AKISHAKUNYONYA DAMU HAKUACHI MPAKA AKUKOJOLEE

5;Je wa jua
the original name for butterfly was flutterby ?

6-Je wajua
Akili yako is more active sleeping than it is watching tv?

7-Je wajua
a violin contains about 70 individual pieces of wood ..

8-Je wajua
nyanya were originally thought to be poisonous .

9- Je wajua?
Kwamba Ndege aina ya Korongo ndiyo Ndege wanao safiri masafa marefu (continet to continet ) kuliko Ndege wengine wowote duniani .

10~ Je wajua ?
Kwamba Tembo wanao uwezo wa kuwasiliana kupitia waves chini ya ardhi takriban km 500 kutoka alipo Tembo mmoja hadi mwengine.
Judgement

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages