Christian poincheval, Huyu amegundua Vidonge(pill), ambavyo vina igeuza harufu ya Ushuzi ,kunukia kama Choclate..Poincheval alibainisha hayo na kusema kuwa mtu anahitaji kula kidonge hicho kabla ya ushuzi haswa asubuhi , ili siku nzima awe free katika kutoa ushuzi ,kwasababu hato umbuka wala kuwachukiza watu. ✨✨MWISHO✨
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment