Rais wa 9 wa Marekani, William Henry Harrison aliyeshika madaraka kwa mwezi tu na kufariki

Je, wajua? Rais wa 9 wa Marekani, William Henry Harrison aliyeshika madaraka kwa mwezi tu na kufariki kwa Homa ya Matumbo (Typhoid Fever) ugonjwa unaotokana na kunywa maji yaliyochanganyikana na kinyesi cha mtu mwenye homa hiyo.

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages