(Top world secreat organisation). Tunapo ongelea makundi haya ya Siri, na maanisha ni yale makundi(Organisation), ambayo yana fanya kazi zake na kupanga mipango yao kwa siri katika kutimiza lengo katika mikakati ambayo wame jiwekea.
Makundi ya siri yapo mengi sana Duniani, lakini katika makala hii mimi nitazungumzia , makundi ambayo ni makubwa na yenye Madhara na matokeo makubwa Duniani kwote, kupitia kila msingi wa Kundi(Organisation husika). Katika pita pita yangu na baadhi ya tafiti zangu, hususani apa Tanzania , nimegundua kwamba watu wengi hawa jui kuwa Duniani kuna makundi ya Siri ambayo yana endesha shughuli zake kwa siri, Maana watu wengi wana zani kila mtu mwenye mafanikio hususani watu maarufu kuwa ni FREEMASON.
Kumbe yapo makundi mengi sana ambayo yanafanya kazi zake kwa mtindo huo kama wa Freemason na yamesambaa Duniani kwote, hivyo jua kuwa Sio freemason tu, yapo makundi mengine na yana member hivyo hivyo.
Haya makundi , ndio yanayo husiswa kubeba mambo mengi makubwa yanayo fanyika hapa sasa duniani, hususani mabaya na haya makundi ndio yanayo daiwa kupanga mipango yote ya dunia iwe mibaya au mizuri , hususani katika kufanya harakati zao za kutimiza mambo yao.
Haya ndio makundi yanadaiwa kuwa na Makufuru, Ushetani, na matukio mengi ya kinyama .mfano Ugaidi, Kafara, Cloning(utengenezaji wa viumbe fake), Vita na hata utengenezaji wa viumbe vya ajabu. 👉Katika makala hii nitaenda kuyaelezea makundi haya ya siri, kila kundi kwa kina.
Makundi hayo ni FREEMASON, ROSICRUCIANS, SKULL & BONES, THE KNIGH TEMPLAR, ORDO TEMPLIS ORIENTIS, ILLUMINAT, THE PRIOTY OF SION na HARMETIC ORDER OF THE GOLDEN. ✨✨ITAENDELEA✨✨
Makundi ya siri yapo mengi sana Duniani, lakini katika makala hii mimi nitazungumzia , makundi ambayo ni makubwa na yenye Madhara na matokeo makubwa Duniani kwote, kupitia kila msingi wa Kundi(Organisation husika). Katika pita pita yangu na baadhi ya tafiti zangu, hususani apa Tanzania , nimegundua kwamba watu wengi hawa jui kuwa Duniani kuna makundi ya Siri ambayo yana endesha shughuli zake kwa siri, Maana watu wengi wana zani kila mtu mwenye mafanikio hususani watu maarufu kuwa ni FREEMASON.
Kumbe yapo makundi mengi sana ambayo yanafanya kazi zake kwa mtindo huo kama wa Freemason na yamesambaa Duniani kwote, hivyo jua kuwa Sio freemason tu, yapo makundi mengine na yana member hivyo hivyo.
Haya makundi , ndio yanayo husiswa kubeba mambo mengi makubwa yanayo fanyika hapa sasa duniani, hususani mabaya na haya makundi ndio yanayo daiwa kupanga mipango yote ya dunia iwe mibaya au mizuri , hususani katika kufanya harakati zao za kutimiza mambo yao.
Haya ndio makundi yanadaiwa kuwa na Makufuru, Ushetani, na matukio mengi ya kinyama .mfano Ugaidi, Kafara, Cloning(utengenezaji wa viumbe fake), Vita na hata utengenezaji wa viumbe vya ajabu. 👉Katika makala hii nitaenda kuyaelezea makundi haya ya siri, kila kundi kwa kina.
Makundi hayo ni FREEMASON, ROSICRUCIANS, SKULL & BONES, THE KNIGH TEMPLAR, ORDO TEMPLIS ORIENTIS, ILLUMINAT, THE PRIOTY OF SION na HARMETIC ORDER OF THE GOLDEN. ✨✨ITAENDELEA✨✨
No comments:
Post a Comment