FRANCESCO LENTIN.
Huyu alikuwa ni Raia wa Italy na Marekani, alizaliwa tarehe 18/5/1889, Rosolin ,Italy na kufa tarehe 21/9/1966 ,Florida, marekani ,akiwa na miaka 78.
Huyu alizaliwa akiwa na miguu Mitatu(3), yote ilikuwa inafanya kazi, alizaliwa akiwa na sehemu za siri za kiume mbili(pair) , nazote zilikuwa zikifanya kazi, na alikuwa na jumla ya vidole Vya miguu Kumi na Sita.
Alikufa kwa ugonjwa wa mapafu(Lung failure) huko Florida marekani.
alizaliwa akiwa na miguu Mitatu(3),
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment