Popo hutumia maskio wakati wa Usiku !!

Popo wanapowinda hutoa sauti ambazo Binadamu ni kazi kuzisikia. Sauti hizo hurudi kama Mwangwi. Mwangwi huo ndio humfanya kutambua eneo ambapo anazunguka lipoje, anaweza akajua wadudu mbalimbali na ukubwa wao na umbali pia ambao wapo.

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages