Mwanamke wa kwanza Duniani katika historia Kupata Ujauzito Na Kuzaa Akiwa mdogo.

Lina Marcela Medina de Jurado Alizaliwa Tarehe 23 Septemba 1933, Alikua Mwanamke Kutoka Nchini Peru. -
Huyu Ni Mwanamke wa kwanza Duniani katika historia Kupata Ujauzito Na Kuzaa Akiwa mdogo. -
Lina Medina Ali Pata Mimba akiwa na Miaka Minne Na Kuzaa Mtoto wake wa kwanza akiwa na Miaka 5 miezi 7 na siku 21. -
Mambo Yalikua Hivi, -
Mara Kadhaa Lina Alikua ana lalamika kuwa ana maumivu ya Tumbo, Na Tumbo Lake lilikuwa Lina kuwa siku baada ya siku. -
Wazazi Wake Moja Kwa Moja Walidhani Ana Tatizo La Tumor kutokana Na Jinsi Tumbo lake lilivyo kuwa Lina kuwa. -
Siku Moja ali pelekwa Hospitali Mara Baada Ya Daktari kufanya uchunguzi ali Gundua Lina Medina Tayari Alikua na ujauzito wa miezi 7. -
Dr Gerrado Lozada alianza kumchukulia uangalizi Lina Medina hadi pale alipo jifungua, Mara Baada Ya kujifungua Lina alitaka yule Mtoto abatizwe Jina la yule Daktari.
-
Yule Mtoto ali batizwa Gerrado Medina.
Lina Medina Ali sema hamfahamu Baba wa Mtoto huyo na hajawahi kufahamika.

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages