Buibui ni kiumbe cha ajabu sana..mfano Buibui hana mabawa lakini kitu usichokijua ni kwamba Buibui ana uwezo wa kupaa/fly angani kama ndege na anaweza aka ruka angani na kupaa kwa umbali wa mail 2.5 (km 4)..kwakutumia umeme wa asili katika atmosphere. kitu kingine usichokijua Buibui wakati wa kujamiana/
kufanya mapenzi(mate) ..Buibui dume huwa ana mviriga jike kwa utando kiasi kwamba asiweze kutoka..kwasababu Buibui jike ni cannibal(anakula buibui wengine) ,hivyo dume anafanya hivyo ili kumzuia asiweze kumla.
SPIDER (BUIBUI)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment