Kulingana na utafiti, mtoto wa miaka mitano anatumia glukosi katika ubongo wake mara mbili zaidi ya mtu mzima, kwa maana ubongo unahitaji zaidi basi ukuaji wa mwili huwa mdogo. Katika umri wa miaka mitano mtoto hujifunza mengi kitu kinachofanya ubongo kuhitaji nguvu nyingi.
mtoto wa miaka mitano anatumia glukosi katika ubongo wake mara mbili zaidi ya mtu mzima
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment