Kwa mujibu wa Shirika la Afya Ulimwenguni, mwaka 2013 wanawake 289,000 walikufa kwa matatizo ya mimba na uzazi. Uwiano wa vifo vya kinamama wajawazito katika nchi zinazoendelea kwa mwaka 2013 ni vifo 230 kwa kila vizazi hai 100,000 wakati ni vifo 16 tu kwa kila vizazi hai 100,000 kwa nchi zilizoendelea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment