Madini ya Zinc

Madini ya Zinc kama moja ya madini yanayopatikana kwenye pweza yanaongeza uzalishaji wa homoni ya kiume (testosteroni) ambayo huhusika katika kusisimka kwa mwanaume na tendo la ndoa. Omega 3 ambayo hupatikana kwenye pweza ni muhimu kwa kinga ya mwili & ukuaji wa ubongo wa mtoto.

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages