Madini ya Zinc kama moja ya madini yanayopatikana kwenye pweza yanaongeza uzalishaji wa homoni ya kiume (testosteroni) ambayo huhusika katika kusisimka kwa mwanaume na tendo la ndoa. Omega 3 ambayo hupatikana kwenye pweza ni muhimu kwa kinga ya mwili & ukuaji wa ubongo wa mtoto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment