UTENGENEZAJI WA ICE CREAM ZA UBUYUCREAM ZA UBUYU🍦🍦



🍦mahitaji:-
  ubuyu wa unga 1/2
  sukari 3/4
  ngano vijiko vi 2.
  Rangi yoyote
  maji litre8-10
  vannila/hiliki.

🍦🍦Weka maji, weka ubuyu wa unga nusu kilo.  ubuyu changanya kbs na unga wa ngano vijiko viwili.

🍦🍦bandika jikoni huku ukikoroga mpaka uwe mzito kiasi. weka sukari pia chota hata sehemu tatu ili kuweka rangi tofauti. koroga dk 5
then epua pooza na ufunge kwenye vifuko.

N:B Unga wa ngano unafanya ice cream iwe laini isiwe ngumu.
badala ya ngano unaweza weka corn flour. japo ni gharama kdg

Hivyo ndivyo unaweza kutengeneza ice cream ya ubuyu hatua kwa hatua

Asante na usiache kutembelea SITE hii



No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages