DEDE KOSWARA/TREE MAN
(Binadamu mti)
Dede Koswara ni mzaliwa wa Indonesia,ni binadamu aliyezaliwa na tatizo la ugonjwa unaosababishwa na fangasi unaojulikana kama Epidermodysplasia verruciformis.Hali hii ilimfanya ajulikane zaidi kama "Binadamu mti"
Tatizo hili huambatana na kukua kwa fangasi,hasa sehemu za mikono na miguu ambao huchomoza na kusambaa mfano wa matawi ya mti.Mwaka 2008 alipatiwa matibabu nchini Marekani lakini tatizo lilijirudia tena.Mpaka sasa hakuna tiba ya kudumu ya tatizo hili.Alifariki 30 january 2016 baada ya kushindwa kufanya kazi kwa viungo vyake muhimu vya mwili (Multiple organ dysfunction syndrome).Mshukuru Mungu kwa kukufanya uonekane jinsi ulivyo
#TreeMan
DEDE KOSWARA/TREE MAN (Binadamu mti)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment