Je, wajua? Ukiweka kelele kidogo kwa mtoto anaelia anaweza kuanza kutulia kwa sababu atahisi kama amerudi tumboni. Tumboni huwa kuna kelele ambayo amezizoea na zilimfanya atulie sasa baada ya kuzaliwa huwa bado wanapenda zile kelele.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment