OSAMA VS Mr Bean

Usicho kijua ni kwamba ,baada ya marekani kumu uwa, OSAMA BIN LADEN, mahali apo alipo kuwa anaishi, walikuta Computer, ambayo ilikuwa na folder la siri lenye mafaili zaidi ya 470,000..,Walip
o fungua mafaili hayo ,asilimia kubwa walikuta ,Video za mr.bean, inasemekana muda mwingi, OSAMA ,alikuwa anaangalia video za mchekeshaji maarufu,Mr bean.

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages