Je, Wajua? Kumtenganisha mtoto mdogo na mzazi hasa mama yake humuathiri kisaikolojia na kumfanya baadae katika maisha yake kuwa na sonona/huzuni kubwa (depression), wasiwasi (anxiety), matumizi ya dawa za kulevya na kuwa mfanya fujo zinazoweza kudhuru wengine.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment