Mwaka 1930 BBC ilikosa cha kutangaza

Miaka 88 iliyopita, mnamo Tarehe18 Aprili 1930, msomaji wa habari katika BBC alikosa cha kutangaza. Taarifa aliyoisoma wakati wa taarifa ya habari ya saa tatu kasorobo usiku ilikuwa: "HAKUNA HABARI".

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages