Hacker aliyefanikiwa kuiba pesa nyingi zaidi za mabenki.

Hamza Bendelladji: Hacker aliyefanikiwa kuiba pesa nyingi zaidi za mabenki.
Kijana mdogo sana (25) raia wa Algeria, mwaka juzi alihukumiwa kifo cha kunyongwa kwa uhalifu wa kuiba Bil 560 (Tsh) kutoka kwenye benki 217 za Ulaya na Marekani.
Hamza alihitimu shahada ya sayansi ya kompyuta ya chuo kikuu cha Algeria. Akiwa na miaka 20 alianza kutengeneza kirusi maalumu cha kudukua taarifa za kibenki na kumwezesha kuiba kiasi cha $265 million na kumfanya kuwa hacker mwenye mafanikio zaidi ulimwenguni.
Jambo lililoshangaza dunia kuhusu bwana Hamza ni kuwa hakuwahi kutumia hata senti moja ya pesa alizoibia mabenki. Kama ilivyo kwa jambazi maarufu wa uingereza Robin Hood, Kiasi chote cha pesa alichoiba Hamza alizituma kusaidia wananchi, taasisi, serikali na wahanga wa matatizo mbalimbali katika nchi maskini zaidi duniani ikiwemo Palestina, Syria, Zimbabwe, Afghanistan, n.k.
Dunia nzima ilimtambua kama 'The smiling hacker', kwa kuonesha uso wa furaha wakati wote hata alipokusomewa hukumu.
Taarifa za chini zinasema Marekani walifoji picha uongo kuuaminisha dunia kuwa Hamza alinyongwa hadi kufa, lakini ukweli ni kwamba yupo chini ya mikono salama ya kitengo cha cyber security cha CIA.
Uhalifu wowote wa mtandao ni kinyume na sheria ya cyber crime act ya mwaka 2015. Usijaribu popote - anything at your own risk.

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages