UTAFITI: Wanawake wanaofanya kazi kwa masaa 45 au zaidi kwa wiki wana uwezekano mkubwa wa kupata Kisukari kwa 63% ikilinganishwa na wale wanaofanya kazi kati ya masaa 35 na 40. Utafiti umedai wanaume hawaathiriki chochote hivyo wanaume tupige kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment