Karibu nusu ya wasichana/wanawake wote duniani hupata maumivu wakati wa hedhi na karibu 15% hupata maumivu makali. Maumivu makali huathiri utendaji wa kawaida wa wanawake hao kutia ndani kutofika kazini au shuleni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment