->Hutoa sauti hizo wakati wa kujamiiana.
->Kuwajulisha wenzie sehemu aliyopo (Location advertisement).
->Ishara ya kulilinda eneo lake analokaa(defending territory).
Na chura wengine ambao ndo husikiliza, hurudisha majibu kwa kutoa sauti hiyo kwa nguvu na kisha kuishusha taratiibu.
SABABU ZINAZOMFANYA CHURA ATOE ULE MLIO WAKE WA AJABU HASWA NYAKATI ZA USIKU NI HIZI HAPA:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment