TV na Computer hutoa "Electromagnetic fields" ambazo zina madhara kwa afya ya binadamu kama mtumiaji ata ji expose kwa kiasi kikubwa katika TV/Computer.
MADHARA YA MONZI HIYO:
-Mabadiliko ya kimwili kama vile kuharibu seli hai za mwili.
-Huaribu DNA (vinasaba vya mwili).
-kansa ya seli.
-Kusababisha Pumu.
-Kusababisha presha.
Ni muhimu watumiaji wa Tv na Computer kukaa mbali na vitu hivyo hasa watoto wanatakiwa wakae mbali na vitu hivyo wakati vinafanya kazi.
MIONZI YA TV (LUNINGA) na COMPUTER
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment