Watafiti wanadai mwili kupungukiwa maji hufanya utendaji wa ubongo kupungua

Watafiti wanadai mwili kupungukiwa maji hufanya utendaji wa ubongo kupungua kwa kiasi kikubwa hasa uwezo wa kufanya mahesabu hivyo watafiti wanashauri mtu kunywa maji mara kwa mara kama mtu anafanya kazi inayotumia akili nyingi kwa muda mrefu.

No comments:

Post a Comment

Active Visitors

Pages